
Rapa Izzo Bisnezz
Izzo Bizness ameelezea kuwa hivi sasa anajipanga zaidi kuandaa kichupa cha wimbo huo ambao unalenga zaidi maisha ya watu walio katika hali duni kimaisha na amewasihi mashabiki wake wakae mkao wa kula kwa kichupa hicho kipya.
Pata kitu kipya kutoka kwake Izzo Bizzy 'Walala Hoi'.