Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kayumba agoma kumuongelea mtoto wake

Thursday , 21st Mar , 2019

Msanii wa Bongofleva na aliyekuwa mshindi wa shindano la BSS mwaka 2015, Kanyumba, amekataa  kuongelea taarifa zilizotufikia kwamba ana mtoto ambaye amemtelekeza na hataki jamii ifahamu kwamba alipata mtoto.

Kayumba

Siyo hali ya kawaida kwa mzazi kuacha kumuongelea mtoto wake kama hakuna tatizo, na habari ilizonazo eNewz ni kwamba msanii huyo amemkimbia mtoto na kususa malezi kwa kile alichodai kwamba muziki bado haumlipi, hata hivyo Kayumba aligoma kabisa kuongelea tuhuma hizo na kusema hawezi jibu kitu chochote kwa wakati huu.

"Sidhani kama kuna umuhimu wowote wa mashabiki kujua maisha yangu, binafsi ninachofahamu ni kwamba mashabiki zangu wanapaswa kupata muziki mzuri kutoka kwangu ila mambo ya familia sio vyema wao kuyafahamu kwanza yanaweza yakawafanya wakaacha kufuatilia muziki wangu kwa kuwa hawajawahi kusikia nikizungumzia maisha yangu binafsi tangu wamenifahamu. Aliongea Kayumba.

Hata hivyo Kayumba alisema kwa sasa anahitaji sapoti ya mashabiki zake katika muziki wake kwa kuwa bila wao yeye hawezi kufanya chochote na amewaambia wategemee mambo mazuri kutoka kwake kwa upande wa muziki ila kwa sasa kuna video yake mpya ambao amefanya na Director Snaipa.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP