Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meneja Maneno ataja alikomtoa Sam wa Ukweli

Monday , 29th May , 2017

Meneja wa wasanii wa muziki wa Bongo maarufu kwa jina la Meneja Maneno ambaye amefunguka jinsi alivyomtoa msanii Sam wa Ukweli, na kuweka wazi kuwa alimkuta akiwa anauza matunda lakini aligundua kuwa ana kipaji na kuamua kufanya naye kazi 

Meneja Maneno alisema hayo kupitia kipindi cha 'Bongo fleva Top 20' cha East Africa Radio wakati akielezea aina ya mameneja wa wasanii waliopo nchini huku akisema wapo mameneja ambao wanawalipa wasanii na wapo mameneja wengine hawana uwezo wa kumlipa msanii bali msanii anawalipa hao mameneja.

"Niliajiriwa kwenye kampuni ya kusambaza albam za wasanii Tanzania katika harakati zangu za kusambaza kanda nilikutana na Sam wa Ukweli akiwa anauza matunda lakini alikuwa na kipaji ndiyo nikaja nikaachia ile ngoma 'Sina raha', tukaja tukaachia 'Hata kwetu wapo' akapata marafiki wapya tena watu waliomrubuni ni wale wale niliokuwa nao Aljazira wakamchukua kijana mwisho wa siku kipaji chake kikaenda kufa, wakamuweka kapuni unajua hata ukiwa na hela vipi kama njia huzijui msanii kudumu ni ngumu" alisisitiza Meneja Maneno 

Mbali na Sam wa Ukweli, Meneja Maneno pia amewahi kuwasimamia wasanii kama ama Rich Mavoko, Sam wa Ukweli na Diamond Platnumz

Meneja Maneno

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya