
Ney Wa Mitego na Mr T Touchez
Mr T Touchez ambaye sasa anafanya kazi chini ya Studio mpya za Freenation amesema kuwa, tabia hii ya dharau si tu kwa 'industry' ya muziki, bali hata nje ya sanaa hiyo, na kwa sehemu kubwa ni tabia ya ndani ya mtu ambayo haisababishwi na sanaa, isipokuwa malezi.