Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nipsey afariki dunia

Monday , 1st Apr , 2019

Rapper Nipsey Hussle wa nchini Marekani ameuawa kwa kupigwa risasi alfajiri ya leo, baada ya kuvamiwa na watu wenye silaha kali.

Nipsey alivyoshambuliwa

 

Taarifa kutoka Los Angeles nchini Marekani zinasema kwamba tukio hilo limetokea nje ya duka lake la nguo, ambapo walikuja watu wakiwa kwenye gari na kuanza kummiminia risasi kadhaa zilizochukua uhai wake wakati akikimbizwa hospitali.

Kwenye tukio hilo watu wengine wawili wamejeruhiwa, kutokana na risasi zilizokuwa zikipigwa bila mpangilio.

Nipsey Hussle ambaye jina lake halisi ni Ermias Davidson Asghedom alikuwa na miaka 33, na alikulia Kusini mwa Los Angeles akiwa ni mwanachama wa kundi la vijana wa mtaani (Street gang) la Rollin 60s.

Muda mfupi uliopita rapper huyo aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa twiiter uliosema kwamba “kuwa na maadui wenye nguvu ni baraka”, jambo ambalo limehusishwa kuwa huenda alijua nini kinakuja kutokea kwake.

Nipsey ameacha mke na watoto wawili wa kike, huku akiwa na album moja iliyokuwa imetajwa kwenye tuzo za Grammy mwaka huu, kama album bora ya rap.

UPDATE: Polisi wa Los Angeles wamefanikiwa kumpata mtuhumiwa wa mauaji hayo, ambaye wamemtaja kwa jina la Eric Holder, mwenye miaka 29.

Polisi imesema kuwa Eric alifika dukani hapo akiwa na silaha kisha kuwafayatulia risasi Nipsey na wenzake, kisha kukimbilia kwneye gari ambayo ilikuwa ikiendeshwa na mwanamke ambaye mpaka sasa hajajulikana.

Rapper Nipsey akiwa na mke wake

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine