
msanii Nameless wa nchini Kenya akiwa na mkewe Wahu
Nameless amesema kuwa, tetesi hizi zimeibuliwa mtandaoni na wahuni waliokuwa na lengo la kuvutia wasomaji katika kurasa zao, na kuwatoa hofu mashabiki wao kuwa yeye na mkewe na watoto wao wapo sawa kabisa.
Nameless ameongeza kuwa, tetesi za namna hii zinazoshambulia mahusiano yao zimeweza kuwafanya kuwa imara zaidi.
