
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Halima Mdee.

Pichani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Prince Dube ametoa mchango wa mabao 10 ndani ya Azam FC msimu huu kwenye VPL, amefunga mabao 6 na ametoa pasi za usaidizi wa magoli 4

Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge, kushoto ni msanii Harmonize

Kushoto ni aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, na kulia ni mbunge wa sasa wa jimbo hilo, Dkt. Tulia Ackson.

Aliyekuwa mtia nia Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Leonard Manyama

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akishangilia bao alipofunga katika usiku wa Ulaya.

Picha kubwa ni gari ya msanii 20 Percent

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martine Shigella.