Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nipo nayo tayari bado kuiachia tu"- Alikiba

Saturday , 19th May , 2018

Msanii wa Bongo Fleva ambaye anafanya vizuri na kibao chake kipya cha 'Mvumo wa Radi' Ali Saleh Gentamilan maarufu kama Alikiba amefunguka na kudai tayari ameshamaliza kutengeneza albamu yake ya muziki na muda wowote anaweza kuiachia rasmi.

Alikiba amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ndani ya Heshima ya BongoFleva inayorushwa mubashara kupitia EATV na kusema anayo mipango ya kuwapa mashabiki zake albamu kama wanavyofanya baadhi ya wasanii kwa sasa.

"Mpango wa albamu upo na labda niseme tu, nipo nayo tayari ila bado kuiachia. Kwasababu kuna kipindi ambacho tulikuwa tunaona kuuza single kuna pesa zaidi ya albamu kutokana na albamu ilikuwa haina faida kwa maana ukiachia nyimbo 8 au 10 mtu anakuwa anasikiliza hizo hizo kila siku na hata ukitoa nyimbo nyingine hawezi kusikiliza", amesema Alikiba.

Alikiba alifanikiwa kutoa albamu yake ya kwanza mwaka 2007 aliyoipa jina la 'Cinderela' ambayo ilikuwa ni kati ya albamu bora na iliyouza zaidi mwaka huo Afrika Mashariki. Mwaka 2008 Alikiba aliachia albamu yake ya Pili 'Alikiba 4 Real' ambayo nayo pia ilifanya vizuri sokoni na kumpa Tuzo mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya