
Nyandu na Mkewe
Hata hivyo mwanadada aliyefunga ndoa na Nyandu hakuficha hisia zake na kumshukuru mme wake kuweza kudumu naye katika uchumba kwa miaka mitano na mwisho wa siku kumchangua yeye kuwa mke wake wa ndoa.
Pia Nyandu alitoa shukrani kwa wasanii wezake waliohudhuria katika harusi yake na kuwasihi mashabiki zake kwamba ndoa haitamrudisha nyuma kimuziki bali ataendelea na muziki na kuiwakilisha mitaa yake vizuri.