
Said Fella
Fella ametahadharisha watu wote wenye nia ya kufanya kazi naye, hususan wasanii chipukizi kuwa makini na watu hawa, akisisitiza pia kuwa hakuna malipo yoyote ambayo anatoza ili kuwaandikisha watu katika kituo chake cha mkubwa na wanawe.
00:00
00:00
00:00