Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Whozu ajibu kuhusu kufanya mapenzi kwenye gari

Friday , 12th Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzania Whozu "Dingoo", amefunguka kuwa ameshawahi kuazima magari ila hajawahi kufanya mapenzi kwenye gari.

Whozu

Whozu amesema hayo wakati alipofanya mahojiano na EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa suala la yeye kuazima gari pamoja na swali la kizushi kama aliwahi kufanya mapenzi kwenye gari haswa baada ya kutamba sana baada kununua gari yake.

"Huo utoto wa kufanya mapenzi kwenye gari sijawahi kufanya, nilishaazima gari kitambo, niliazima tu kwa michongo ya hapa na pale kipindi ambacho sina gari, lakini kwa sasa hivi Mungu kanijaalia uwezo wa kuwa na gari yangu, kuwa na maisha yangu, muziki wangu na mashabiki zangu wananipokea".

Pia Whozu amefunguka kuhusu kauli ya Dogo Janja ambaye aliwahi kusema wasanii wapya hakuna na waliopo wanapungua kwa kusema, ''Janjaro ni mtu wa utani sana, ni mtu ambaye anaandika caption nzuri lakini sio kila muda yupo seriazi sana''.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja