Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke anayeishi na sindano 10 mwilini

Friday , 2nd Nov , 2018

Mwanamke mmoja katika Kaunti ya Thika nchini  Kenya, Thabita Wairimu (29) anaishi na sindano 10 zilizopo sehemu mbalimbali za mwili wake, kitendo kilichowashtua watu wake wa karibu na madaktari.

Sindano za kushonea

Kwa mujibu wa matokeo ya X-ray iliyofanywa katika mwili wake, sindano hizo zimeonekana kunasa katika sehemu za moyo, shingo, mikono yake yote pamoja na kwenye utumbo.

Licha ya sindano hizo kuwepo katika mwili wake, mwanamama huyo ameshindwa kutaja ni kwa namna gani zimeingia na kwa muda gani zimekuwepo katika mwili wake.

Inaelezwa kuwa mwanamama huyo alichukuliwa na kupelekwa sehemu isiyojulikana ambako alibakwa, kudhalilishwa na kutupwa porini, alikaa huko kwa kipindi fulani kabla ya kurejea huku akiwa na matatizo ya akili pamoja na kushindwa kumudu matamshi.

"Sisikii maumivu sehemu zingine za mwili isipokuwa katika tumbo langu ambapo ndiyo maumivu makubwa yalipo", amesema Thabita.

Kwa mujibu wa maelezo yake, Thabita alilelewa na mama mmoja ambaye hakuwa mzazi wake kabla ya kuamua kuingia mitaani. Wazazi wake hawafahamu, na hata ndugu zake aliwafahamu baada ya kuolewa na mwanaume aliyemtaja kwa jina la 'Timothy Njenga'.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya