Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tiba ya Saratani kugunduliwa

Sunday , 7th Apr , 2019

Kundi la wanasayansi wa Israel, wameahidi kuwa wapo katika mchakato mzito wa kuleta tumaini jipya juu ya kupatikana kwa tiba ya saratani ndani ya mwaka mmoja.

Dkt. Illan Morad ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya Accelerated Bioevolution Biotechnologies inayoshughulikia masuala ya Biotechnology, anatengeneza kitu kinachoitwa MuTaTo, ambayo licha ya kuwa na jina baya kama ilivyoelezwa, lakini inatarajiwa kuja kurudisha uzima wa watu wengi walioathirika na saratani

MuTaTo ambayo ni muunganiko wa 'peptides' ambazo zimelenga moja kwa moja seli za saratani kwa sumu kali ilizonazo na kuziua.

“Tiba yetu ya saratani itaanza kufanya kazi kuanzia siku ya kwanza, itadumu kwa wiki na haitakuwa na madhara yoyote kwa binadamu, na itakuwa nafuu sana kuliko matibabu ya sasa ambayo yana gharama zaidi”, amesema Dkt. Morad  akiliambia jarida la New York Post.

Dkt. Morad ameendelea kusema kwamba baada ya kutumia mchanganyiko huo walioutengeneza kwa panya mwenye vimelea vya saratani, ilileta matokeo mazuri baada ya kuua vimelea hivyo vya saratani bila kumuathiri panya, na kwamba wale waliowahi kupitia tiba ya mionzi ni kwa jinsi gani wataelewa kuwa hii ni 'big deal'

Takriban watu milioni 18.1 kila mwaka wanagundulika kuwa na saratani duniani, na iwapo MuTaTo itafanya kazi, itakuwa ni habari njema ulimwenguni kote.

 

 

Source: Distractfy

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP