Aidha Mzonge amesema kuwa kwa sasa anawapa mazoezi ya stamina ya miguu na mikono zaidi baada ya kugundua mapungufu kwa vijana hao ambao wengi ndio kwanza wanachipukia katika mchezo huo
Mzonge ameongeza kuwa pamoja na vijana hao kujituma lakini bado wanachangamoto kubwa ya upungufu wa vifaa na hivyo amewaomba wadau kuisasidia timu hiyo ili iweze kujiandaa vizuri zaidi.
