Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malinzi atangaza dira mpya Serengeti Boys

Monday , 22nd May , 2017

Safari ya Serengeti Boys - timu ya Tanzania ya Vijana wenye umri wa miaka 17, inaendelea licha ya jana Mei 21, mwaka huu kuondolewa kwenye hatua ya makundi ya kuwania taji la Afrika hapa Port Gentil nchini Gabon.

Wachezaji wa Serengeti Boys wakiwa nchini Gabon

Akizungumzia matokeo hayo, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema: "Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi."

Alizungumza hayo kwa nyakati tofauti, Malinzi alisema: "Tujipange sasa kwa yafuatayo: Michezo ya kufuzu (Qualifiers za 2019 Afcon U20  zinafanyika mwakani kuanzia mwezi June. Vijana hawa watashiriki.

"AFCON U17 finals (Fainali za AFCON za vijana wenye umri wa chini ya miaka 17) zinafanyika Tanzania mwaka 2019," amesema Malinzi na kuongeza: "Serengeti Boys hii ya sasa inakuwa Ngorongoro Heroes (Vijana wa u20 na ikishapumzika kwa muda, itaingia tena kambini."

Amesema kwamba vijana wa Tazania wenye umri wa chini ya miaka 15, walioko Shule za Alliance Mwanza wanakuwa Serengeti Boys wapya.

"Hakuna muda wa kusononeka ni kuchapa kazi tu. Kikubwa tunaandaa Taifa Stars ya kwenda World cup 2026 na qualifiers zake zitaanza mwaka 2024. Kwa sasa timu inajiandaa kuingia kambini kwa ajili ya kuivaa Lesotho," amesema.

Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Bakari Shime amesema timu yake imepoteza mchezo huo kwa makosa ya kimchezo na bahati haikuangiwa kwa vijana wa Tanzania katika mchezo dhidi ya Niger.

Serengeti Boys ilifungwa bao 1-0 na Niger katika mchezo uliofanyika , hivyo kufanya matokeo ya timu zote mbili kufanana kwa pointi, idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa tangu kuanza kwa fainali hizi za AFCON, Mei 15, mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP