Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo akanusha pambano la Ujerumani

Tuesday , 18th Sep , 2018

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo amekanusha taarifa za pambano lake lililotarajiwa kufanyika Ujerumani Oktoba 20, mwaka huu dhidi, ya Bondia Mjerumani Wanik Awdijan.

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo.

Akiongea na www.eatv.tv Mwakinyo, (23) amesema haja saini mkataba wowote juu ya pambano hilo na hana taarifa zozote mpaka sasa, huku akidai kuwa hawezi kushiriki mchezo huo kutokana na kuto kulingana kwa viwango (rank) na bondia huyo ambaye hawezi kumuongezea nafasi yoyote kimataifa.

Mwakinyo amesema “ Mimi naomba niwaambie watu kuwa hilo pambano hakuna, sija saini mkataba ni tuhuma tu hizo, labda waniteke nikacheze nikiwa nimefungwa mikono lakini siwezi kwenda kucheza kwasababu sina taarifa nazo, na bondia huyo awezi kunipa credit yoyote ile sababu mtu mwenyewe sio wa rank yangu".

Kuhusiana na pambano dhidi ya May Weather, Mwakinyo amesema anaamini ipo siku ataweza kupambana na bondia huyo kwani anaweza kufika huko huku akiwataka Watanzania kutoa sapoti na kuacha kasumba ya kwamba May Weather anaweza kumpiga kila mtu.

Aidha Mwakinyo amesema mpaka sasa ana Promota mmoja tu ambaye ana haki ya kuzungumzia mapambano yake na ndiye aliyemtafutua pambano lake la uingereza ambaye ni Sheikh Ali Mwazoa, huku akikiri kuendelea na Mkalimani wake.

Pia amesema hawezi kuhamisha makazi yake kutoka Tanga na kuhamia Dar es salaam kutokana na uwepo wa ndugu na marafiki zake waliopo mkoani huko kwani hana nia ya kutengeneza marafiki wapya kwa sasa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya