Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Akilimali azidi kumchana Niyonzima

Saturday , 24th Jun , 2017

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali amesema hawana wasiwasi wowote juu ya kuondoka kwa kiungo wao  Niyonzima kwa kuwa wapo wengi walishaondoka waliokuwa wazuri katika timu yao akiwamo Sunday Manara na timu iliendelea kufanya vizuri.

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali.

Mzee Akilimali amebainisha hayo kupitia kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio, wakati akihojiwa na mtangazaji Tom Chilala na kusema Niyonzima aondoke tu Yanga bila wasiwasi wowote kwani ana uhakika wa kupata mchezaji mwingine wa kuziba nafasi yake.

"Mwache aende tu, Yanga ni timu kubwa na walipita wachezaji wengi zaidi yake kama vile 'Computer' na wengine wengi ambao walikuwa wazuri lakini timu iliendelea kubaki na kufanya vizuri" alisema Akilimali.

Pamoja na hayo, Mzee Akilimali amesema endapo uongozi wa Yanga utaweza kusema umeshindwa kufanya kazi zake ipasavyo basi wamuite yeye ili waweze kukaa chini na kuzungumza wapate muafaka mzuri katika klabu yao.

"Kiongozi waliyokuwepo madarakani kwanini hawatamki kuwa sisi tumeshindwa ebu watamke basi na nina kwambia wakitamka tu leo Niyonzima atarudi" alisisitiza Mzee Akilimali. 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya