Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nina imani tutapata bingwa wa halali"- Manase

Saturday , 2nd Sep , 2017

Kamishna wa Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Manase Zablon amesema anaimani kubwa katika fainali ya leo ya Sprite BBall Kings (game 5) kwamba ataweza kupatikana bingwa wa kweli bila ya shaka yeyote ile kwa mashabiki.

Kamishna wa Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Manase Zablon.

Manase ameeleza hayo ikiwa yamebakia masaa kadhaa vumbi kutimka katika michuano hiyo ambayo kwa siku ya leo ndiyo itaweza kumtambulisha bingwa kwa mwaka 2017 baada ya timu ya TMT na Mchenga BBall Stars zote kwa pamoja kulingana kwa matokeo yao ya awali ambapo kila timu imefungwa mara mbili na kushinda mara mbili. 

"Nina imani kabisa katika mchezo wa leo wa fainali za Sprite BBall Kings, tutapata bingwa aliyekuwa halali na fainali itakuwa nzuri. Niwaombe Watanzania wote mjitokeze kwa wingi kuja kushuhudia fainali ya aina yake", alisema Manase. 

Mshindi wa kwanza wa mashindano ya Sprite BBall Kings anatarajiwa kuondoka na kitita cha shilingi milioni 10 akifuatiwa na mshindi wa pili kupata milioni tatu bila ya kumsahau mchezaji bora {MVP} kuondoka na shilingi milioni mbili.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali