Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Nina mioyo miwili'' - Ozil

Sunday , 22nd Jul , 2018

Nyota wa klabu ya soka ya Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani Mesut Ozil ametoa ufafanuzi juu ya picha alizopiga mwezi Mei na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan, kwa kueleza kuwa hakuwa anaunga mkono mambo yake ya kisiasa bali ilikuwa ni masuala ya elimu.

Mesut Ozil

Ozil ambaye ni mzaliwa na Ujerumani mwenye asili ya Uturuki, amesema hawezi kupinga ukweli kuwa yeye amezaliwa na kuishi Ujerumani lakini asili ya familia yake ni Uturuki hivyo lazima atahusika tu kwenye masuala mbalimbali ya Uturuki ila lengo lake si kushiriki kuunga mkono yasiyofaa.

"Nina mioyo miwili, mmoja wa Kijerumani na mwingine Kituruki na mama yangu alinifundisha kuwa na heshima na kutosahau nilikotokea hivyo kupiga picha na Rais wa Uturuki haikumanisha naunga mkono masuala yake ya kisiasa lakini ni kuheshimu asili yangu'' - amesema.

Kushoto ni mchezaji Mesut Ozil akiwa na Rais Erdoğan.

Katika barua yake Ozil ameeleza kuwa vyombo vya habari hususani vya Ujerumani vimekuza tu suala hilo kutokana na Rais Erdoğan kuwafanyia ukatili baadhi ya wanahabari na wanasiasa wakati wa uchaguzi wa Rais nchini humo ambapo aliibuka mshindi.

Ozil na Erdoğan pamoja na mchezaji mwingine wa Ujerumani İlkay Gündoğan ambaye naye ana asili ya Uturuki walipiga picha ya pamoja mwezi Mei wakati Rais huyo alipotembelea Uingereza.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya