
Ekeng alianguka uwanjani katika dakika ya 70 ya mchezo wa ligi uliokuwa ukionyeshwa na televisheni ya Romania, baina ya Dinamo na Viitorul.
Ilikuja elezwa baadaye kuwa Ekeng amefariki dunia hospitalini saa mbili kupita tangu akimbizwe kutoka uwanjani.
Kufuatia tukio hilo Shirikisho la Soko la Romania, limetangaza kusitisha michezo yote ya ligi ya nchi hiyo ya mwishoni mwa wiki hii.