
Mechi hii ya ufunguzi wa ligi unatazamwa kwa shauhuku kubwa na mashabiki wa timu hiyo baada ya Jumatano iliyopita kukubali kichapo cha mkwaju kutoka kwa watani zao Simba SC.
Kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Instagram Yanga wamekiweka kikosi kitakachopambana leo.
"Yanga SC burudani ya soka iko uwanja wa Uhuru leo, mabingwa mara27 wako uwanjani dhidi ya Lipuli Fc" imeandikwa katika taarifa hiyo.