
Mwanadiplomasia na mtaalam wa masuala ya kodi, Severin Kapinga.

Mtendaji Mkuu wa Azam Fc (Kushoto), akipeana mkono na mshambuliaji Prince Dube(Kulia) mara baada ya kusaini mkataba wa kuwatumikia waoka mikate hao wa Chamazi.

Khalid Mponda, Kaka wa marehemu Mariam Juma

Kikosi cha Mtibwa Sugar kilicho kwenye hatihati ya kushuka daraja

Mlinzi wa kati wa Manchester United, Erick Bailly akisaini mkataba mpya jioni ya leo.

Rais wa kamati ya maandalizi ya Olympic Tokyo 2020 Seiko Hashimoto

Kiungo mkabaji wa Simba, Taddeo Lwanga akiwania mpira wa mlinzi wa AS Vita, Ebunga kwenye mchezo wa klabu Afrika.

Kevin Durrant akimtoka mlinzi wa Phoenix Suns usiku wa kuamkia leo.

Bilionea Daniel EK (kushoto), gwiji wa Arsenal, Patrick Vieira (katikati) na Thierry Henry (Kulia).