
Afisa habari wa timu hiyo Asha Muhaji amesema kuwa matokeo wanayopata hivi sasa ni sehemu ya mchezo na timu inapofanya makosa basi nyingine hutumia nafasi hiyo kupata matokeo
Aidha Asha ameongeza kuwa pamoja na kubakiza michezo minne na timu nyingine za juu yao zikiwa na mechi za viporo hilo haliwakatishi tamaa kwani hata wao wanaweza kuteleza na wao wakashinda michezo yao na kushika moja ya nafasi mbili za juu.