Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yaiadhibu Yanga, Yanga sasa kusubiri faini

Saturday , 16th Feb , 2019

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya soka ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopigwa leo Februari 16 kwenye dimba la taifa Dar es salaam.

Meddie Kagere akijaribu kumiliki mpira mbele ya Vicent Andrew

Simba imebeba pointi zote tatu kupitia bao la Meddie Kagere ambaye alifunga dakika ya 72 akipokea pasi safi kutoka kwa nahodha John Bocco na kumalizia kwa kichwa.

Baada ya ushindi wa leo Yanga imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi, ikiwa na pointi 58 wakati Simba wanajivuta kutoka nafasi ya 5 hadi ya 3 wakiwa na pointi 39.

Tayari Yanga imeshacheza mechi 24 huku Simba wakicheza mchezo wao wa 16 msimu huu katika ligi ambayo ipo kwenye mzunguko wa 27 kwaa baadhi ya timu.

Kwa upande mwingine klabu ya Yanga ambayo imetoka kuadhibiwa na TFF kwa kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union, itakuwa inasubiri adhabu hiyo tena baada ya leo kuingia tena uwanja wa taifa kwa kutumia mlango usio rasmi.

Katika faini iliyopita Yanga ilitozwa kiasi cha shilingi laki mbili (200,000/=).
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja