Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yaganda katika viwango vya FIFA

Thursday , 16th Aug , 2018

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeeendelea kuganda palepale katika viwango vya soka duniani kwa mujibu wa listi ya shirikisho la soka duniani FIFA iliyotelewa leo, Agosti 16.

Timu ya taifa, Taifa Stars.

Taifa Stars imeendelea kushikilia nafasi ya 140 ikiwa nafasi nne nyuma ya Rwanda inayokamata nafasi ya 136 na nafasi nane juu ya Burundi ambayo inashikilia nafasi ya 148 katika viwango hivyo.

Uganda ‘The Cranes’ imeendelea kuongoza soka la Afrika Mashariki, ikisalia nafasi ileile ya 82 ya mwezi uliopita ikifuatiwa na Kenya iliyo katika nafasi ya 112 huku nafasi ya mwisho kwa nchi za Afrika Mashariki ikishikiliwa na Sudan Kusini ambayo ipo nafasi ya 156.

Kwa bara la Afrika, Tunisia inaongoza ikiwa katika nafasi ya 24 baada ya kuporomoka nafasi tatu nyuma toka mwezi uliopita, ikifuatiwa na Senegal iliyopo nafsi hiyohiyo ya 24 baada ya kupanda nafasi tatu tofauti ikiwa ni katika alama ambapo Tunisia ina alama 910 huku Senegal ikiwa na alama 838.

Bingwa wa kombe la dunia mwaka huu, timu ya taifa ya Ufaransa inaongoza katika nafasi ya kwanza ikiwa imepamda nafasi sita zaidi, ikiwa ni kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2002 ikifuatiwa na Ubelgiji katika nafasi ya pili na Brazil inayokamata nafasi ya tatu.

Nafasi ya nne mpaka ya kumi ikishikiliwa na Croatia, Uruguay, Uingereza, Ureno, Uswisi, Hispania na Denmark kwa kufuata mpangilio wake.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya