Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tenisi walemavu waomba sapoti kwa Serikali

Saturday , 2nd Jul , 2016

Siku chache baada ya kufanikiwa kutetea ubingwa wao wa michuano ya wazi ya tenisi ya Kenya, kocha mkuu wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania Riziki Salum amesema ili timu hiyo ipate mafanikio ni vema Serikali ingeisaidia moja kwa moja

Riziki Salum kocha wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania.

Riziki Salum amesema iwapo kama Serikali itaamua moja kwa moja kwakushirikiana na wadau mbalimbali yakiwepo makampuni na kutoa sapoti ya kutosha kwa mchezo huo wanaimani kubwa kuwa wataweza kufanya vema katika michuano mbalimbali inayowakabili na kuipeperusha vema bendera ya taifa ndani na nje ya mipaka katika medani ya kimataifa.

Timu hiyo ya taifa imeweza kutetea ubingwa wake kwa mara nyingine wa michuano ya wazi ya Kenya iliyopigwa hivi karibuni jijini Nairobi.

Salum amesema pamoja na kuibuka na ubingwa huo kwa upande wa wanawake na wanaume lakini katika maandalizi yao yaliyopita walikuwa wakifanya katika mazingira magumu na yakukatisha tamaa katika hali ngumu sana hasa kutokana na kukosa vifaa vya kutosha vya kisasa, huduma za matibabu pamoja na mahitaji mengine muhimu kwa wachezaji kama nauli na posho zingine.

Aidha Salum amesema ni vema sasa ifike wakati wadau na hasa Serikali kuwaangalia vijana hasa kama hao walemavu wa timu ya tenisi ambao wanajitolea kwa moyo wao na kuitangaza vema nchi kimataifa na kuwapa misaada ya kutosha hata kuwatafutia udhamini ili wafanye maandalizi bora na yakutosha na waweze kufanya vema zaidi ya walipofikia.

Akimalizia Salum amesisitiza kuwa ni vema ikatokea taasisi au Serikali ikabeba majukumu ya timu na kuiwezesha kuwa bora na ikafanya mambo makubwa zaidi kimataifa na kimsingi amesema kitendo cha kutwaa ubingwa huo, kunaashiria Tanzania ipo vizuri katika ukanda wa Afrika Mashariki kwenye mchezo wa tenisi kwa wachezaji wenye ulemavu ama mahitaji maalumu hivyo ni wazi wanahitaji kuwezeshwa kwakuwa wameshaonyesha wanaweza.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya