Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga mlikosea kumuita huyu- Manara

Monday , 18th Sep , 2017

Afisa habari wa klabu ya Simba Haji Manara amefunguka na kudai hakuna kama mchezaji Emmanuel Okwi Afrika Mashariki nzima kwa sasa, japo timu ya Yanga iliwacheka kipindi wanamsajili na kumuita jina la muhenga.

Afisa Habari wa Klabu ya Simba Haji Manara.

Manara ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya mshambuliaji Emmanuel Okwi wa Simba kuanza vizuri katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuifungia mabao sita mpaka sasa timu yake,katika mechi mbili na kuweza kuzima maneno ya wapinzani wao waliyokuwa wanamuita muhenga kipindi alipokuwa akisajiliwa kwa madai kiwango chake kimeshakwisha katika kulisakata kabumbu.

"East Afrika ina Okwi mmoja tu, 'game' mbili goli sita mara mbili ya magoli yote ya Gongowazi kwa michezo yao mitatu. Kosa lao lilikuwa kumwita mhenga, atashinda kila tuzo nchi hii, 'this is Simba and that is Okwinho", ameandika Manara.

Kwa upande mwingine, klabu ya Simba inatarajiwa kushuka katika dimba la CCM Kirumba Mkoani Mwanza Septemba 21 mwaka huu dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya