Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel Sitta enzi za Uhai wake alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Mbezi Dar es Salaam
Vijana wakijishughulisha na masuala ya ufundi.
Boti ya wahamiaji ikizama bahari ya mediterainin.
Polisi nchini Zimbabwe wakiwatawanya waandamanaji wanaopinga hali mbaya ya uchumi.
Mbunge wa Mbulu vijijini Flatei Gregory akishiriki katika utengenezaji wa mradi wa maji.
Jenista Mhagama - Wazir anayehusika na sera
Donald Trump akiondolewa jukwaani na afisa usalama baada ya kudaiwa kuwepo tishio la usalama wake.
