
Picha ya msanii Malkia Karen

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Patricia Laverley, wakisaini mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani Milioni 125.2, sawa na sh. bilioni 289.34 kwa ajili ya Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia ni Afisa Sheria Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Paulina Fungameza.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na CHADEMA na kulia ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson

Kourtney na Travis wakiwa nchini Italia

Bweni la shule ya sekondari ya wasichana Mkuza lililoungua

Johanna anataka kitabu cha rekodi cha Guinness kitambue rekodi yake