Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Watoto wanaozaliwa wamepungua' - Waziri Ummy

Wednesday , 7th Aug , 2019

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amesema hatua ya kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaoandikishwa kwenye Shule za Msingi mkoani Tanga, haimaanishi kiwango cha wanawake kuzaa kimeongezeka.

Waziri Ummy Mwalimu ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Tanga wakati wa utoaji wa msaada wa vitu mbalimbali, ikiwemo madawati katika Shule ya Msingi Kiruku iliyopo mkoani Tanga, ambapo amesema idadi kubwa ya watoto waliwakuwa hawaandikishwi shule kwasababu ya wazazi kukosa ada.

"Mimi nasimamia afya, sio kwamba wanawake wanazaa sana bali watoto wanaozaliwa wanapungua, ina maana watoto wengi walikuwa wanabaki nyumbani kwa sababu wazazi walikuwa hawana ada." amesema Ummy Mwalimu.

Waziri Ummy ameendelea kusema kuwa "kabla ya elimu bure watoto waliokuwa wanaandikishwa hapa Tanga walikuwa ni 8000, lakini baada ya elimu bure watoto wamefikia 10000, hatuna sababu ya kutokumshukuru Rais Magufuli"

Kwa sasa Serikali inatumia zaidi ya shilingi bilioni 23, katika kuhakikisha ina ratibu suala la elimu bure kuanzia ngazi ya Shule ya Msingi hadi Sekondari.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya