Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matatizo ya wanafunzi wa bweni yatatuliwa

Sunday , 18th Aug , 2019

Jumla ya wasichana 170 katika shule ya Sekondari Tura iliyopo Uyui Tabora,  wamepata taulo za kike watakazotumia kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Makabidhiano ya taulo za kike katika Shule ya Sekondari ya Tura

Shule hiyo iliyopo zaidi ya kilometa 150 kutoka Tabora mjini ni shule ya Bweni kwa wasichana ambapo Mkuu wa shule hiyo Adam Shaban Mangao, ameeleza kuwa taulo hizo zitasaidia kupunguza matatizo kwa wanafunzi wawapo bwenini.

''Kampeni ya Namthamini itatatua tatizo wanafunzi kubaki bwenini na kukosa masomo maana ndio tatizo ambalo limekuwa likisababisha kupunguza ufaulu kutokana na watoto hawa kulazimika kukosa vipindi wanapokuwa kwenye hedhi lakini hawajatumiwa fedha za kujikimu na kuweza kununua taulo hizi'', amesema.

Aidha Mwalimu Mangao, amezipongeza na kuzishukuru East Africa Television na East East Africa Radio kwa kuichagua shule ya Tura, kuwa miongoni mwa shule nyingi zitakazofikiwa na Kampeni ya Namthamini mwaka huu.

Zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika shule 4 za mkoani Tabora lilikamilika Jumamosi Agosti 17, 2019, ambapo zaidi ya wanafunzi 500 wamepata taulo za kike kwa mwaka mzima.

Shule nyingine zilizofikiwa katika mkoa huo ni pamoja na Ikomwa, Ndono pamoja na Idete, ambapo timu ya East Africa Television na East Africa Radio iliambatana na mkuu wa mkoa huo Aggrey Mwanri.

Katika mwaka wake wa tatu, Namthamini imefanikiwa kufika katika mikoa ya Manyara, Arusha na Tabora huku ikitarajiwa kufika katika mikoa mingine ikiwemo Dodoma.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava