Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Iringa waomba Kampeni ya Namthamini iwafikie

Monday , 19th Aug , 2019

Serikali mkoani Iringa imeombwa kuweka utaratibu wa kugawa bure taulo za kike katika shule za msingi na sekondari ili kunusuru afya za wanafunzi wakike ambao wanalazimika kutumia vitambaa ambavyo si salama.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Selebo

Ombi hilo limewasilishwa serikalini na wanafunzi wa shule ya sekondari Selebo, iliyopo katika kijiji cha Ilawa wilayani Kilolo mkoani Iringa, ambapo wamesema wakipatiwa taulo hizo itawasaidia kusoma vizuri kutokana na kuepuka usumbufu wanaopata wanapokuwa kwenye hedhi.

Imeelezwa kwamba wanafunzi hao wa kike hulazimika kutumia vitambaa ambavyo si salama, kujistiri pindi wanapokuwa katika kipindi cha mabadiliko ya miili yao, kutokana na kushindwa kumudu gharama za taulo zinazouzwa madukani.

Aidha wanafunzi wa shule hiyo ambayo ina jumla ya wanafunzi 475 kati yao wasichana wakiwa ni 244, wameomba Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio, iwafikie shuleni kwao, kama ambavyo mwaka huu tayari imefika katika shule za mikoa ya Arusha, Manyara na Tabora.

Zaidi tazama Video hapo chini
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava