Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Instagram wamchangia pesa Rais Magufuli

Friday , 23rd Aug , 2019

Wakili wa  kujitegemea Albert Msando, amekabidhi kiasi cha Shilingi milioni tano kama mchango wa kumsaidia kumlipia deni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, alilokuwa  anadaiwa na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Rais Magufuli

Deni hilo lilikuja baada ya Rais Magufuli, kufika hospitalini hapo kwa lengo la kuwatembelea majeruhi wa ajali ya moto Mkoani Morogoro, alijitokeza  mwanamke aliyemuomba msaada wa kumlipia gharama za matibabu,  baada ya mama yake kufariki dunia, ambapo Rais Magufuli aliuagiza uongozi wa hospitali hiyo kumuachia na kwamba yeye atazilipa gharama hizo.

''Mimi binafsi kupitia akaunti yangu ya instagramu niliamua kuwahamasisha wananchi wamchangie Rais Magufuli ili tuweze kulipa hili deni, lengo la kufanya hivi ni kuhamasisha matumizi bora ya mitandao ya kijamii, jambo la pili nikuonyesha kwamba Mh Rais na yeye ni binadamu kama alivyo mwingine ambaye na yeye anaguswa na ndio maana siku zile alisema Profesa nidai mimi'', amesema Msando.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Muhimbili Profesa Laurence Museru,  amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la wao kumruhusu mwanamke huyo kuchukua mwili wa mpendwa wake na kuondoka,  wao kama hospitali walitii agizo hilo na kisha wao kuipeleka bili ya deni hilo Ikulu ya Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja