Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jacqueline Wolper afunguka kuhusu kudanga

Monday , 2nd Sep , 2019

Staa wa filamu Jacqueline Wolper, amefunguka kuhusu suala la kudanga kwa wanawake, na 'issue' za kutumika kwa warembo katika tasnia ya filamu.

Jacqueline Wolper

Jacqueline Wolper ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa filamu ya Siyabonga ya msanii Gabo Zigamba, uliofanyika Mlimani City, Jijini Dar es salaam.

Kuhusu suala la kudanga Wolper ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa, ''mimi ndiyo tayari nilishawahi kudanga, kwa kawaida kudanga ninavyoijua na nivyoielewa maana yake ni kuwa na mahusiano na mwanaume mwenye pesa, hiyo maana nyingine wanayoijua wao mimi siijui".

Aidha Wolper ameendelea kuzungumzia suala la wanawake wakiwa warembo wanaingia katika filamu bila ya kuwa na kipaji.

"Tunawalaumu watayarishaji na waongozaji wa filamu maana wanataka kuwakaza halafu ndiyo wawape majukumu, kama mtu amechukuliwa kwa ajili ya urembo na sanaa yake haijulikani hawezi kuendelea kupewa kazi".

Pia amesema wanawake hao wanaishia kuchezewa na kutumiwa hawawezi kuchukuliwa na watu wenye taaluma zao.

Mwisho amemaliza kwa kusema uzuri na ubaya wa tasnia ya filamu huwa ni kazi moja huanzisha nyingine.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja