Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mkisikia nimeachika msishangae'' - Billnas

Thursday , 5th Sep , 2019

Billnass amesema muda wowote kuanzia sasa anaweza kuachika na mpenzi wake mpya kutokana na kusambaa kwa picha na video zikionyesha akiwa amerudiana na Nandy katika mitandao ya kijamii.

Nandy na Billnas

Billnass amesema hayo kwenye mahojiano na EATV & EA Radio Digital baada ya kuulizwa kama inamuathiri vipi watu wanaposema amerudiana tena na Nandy.

"Inaniathiri pakubwa kwa sababu mahusiano yangu yapo kwenye changamoto kubwa sana au siku yoyote mkisikia nimeachika msishangae, sisi hatujiachii na hatuko karibu kama ambavyo watu wengine wanaona kwa sababu tangu nimeachia wimbo wa Bugana sijaonana tena na Nandy mpaka leo", ameeleza.

Billnass ameendelea kusema picha na video ambazo wanapost katika mitandao ya kijamii ni za muda walipiga wakati wapo 'Location' wana-shoot video ya Bugana na hataki watu waamini kama wana ukaribu huo.

Wawali hao wamekuwa wanazungumziwa sana na watu katika mitandao ya kijamii kutokana na ukaribu wao unaoonesha kama wamerudiana. Video ya wimbo wao inafanya vizuri tangu itoke ikiwa na siku 5 na imepata watazamaji 736,453.
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP