Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu 'akosoa' maamuzi ya kesi yake

Tuesday , 10th Sep , 2019

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amedai maamuzi yaliyotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania jana yalikuwa maamuzi ya hofu, kwa kile alichokieleza walifuata vitu vya msingi kwenye kufungua shauri hilo.

Lissu ametoa kauli hiyo baada ya Mahakama kutoa uamuzi wa kuyakataa maombi yake, kwa kile ilichokisema Lissu alipaswa kufungua kesi ya kupinga uchaguzi ambao ulimpitisha Miraji Mtaturu.

Lissu amesema kuwa "nimewasiliana na Wakili Peter Kibatala kuhusu uamuzi wa Jaji Matupa, huu ndiyo aina ya uamuzi unaotolewa na Mahakama iliyoingiwa na hofu ya watawala, sisi hatukuwa na bado hatuna ugomvi na Tume ya Uchaguzi wala na Miraji Mtaturu."

"Hatukukosea chochote kufungua maombi ya marejeo ya Kimahakama, hoja ya kwamba kutakuwa na mgogoro wa Kikatiba, Wabunge wawili ni hoja isiyokuwa na mantiki au maana yoyote, tulichoomba sisi ni Mahakama Kuu itamke kama uamuzi wa Spika Ndugai ulikuwa sahihi kisheria?" amesema Lissu.

Jana Septemba 9, 2019 Mahakama Kuu ya Tanzania ilitoa maamuzi ya kuyakataa maombi ya Tundu Lissu juu ya kuvuliwa Ubunge na Spika wa Bunge Job Ndugai, na kumpa maelekezo ya kuyafuata.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya