Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maswali matano magumu anayojiuliza Rais Magufuli

Saturday , 5th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuna maswali huwa anajiuliza, lakini majibu yake yanampa nguvu ya kuendelea kuwatumikia Watanzania.

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameyasema hayo jana Oktoba 4, 2019, wakati akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Songwe, kwenye mkutano wa hadhara katika ziara yake mkoani humo , ambapo alisema kila akifikiria kuondoka kuna maswali mengi anajiuliza na anapata jibu la kuendelea.

''Kuna muda ukikaa unajiuliza mateso waliyokuwa wanapata watu unaona ilikuwa lazima tu nifanye kazi, nikitazama leo nikiiacha nchi, Ndege zitanunuliwa? SGR itajengwa? Vituo vya afya vitajengwa? Stiegler's Gorge itajengwa? Je miradi yote itatekelezwa?, hapo ndipo ninajisikia lazima niendelee'', amesema.

Aidha Rais Maguguli amewaomba watanzania kuendelea kumuombea yeye pamoja na Mawaziri, kwani wanafanyakazi kwa mateso makubwa sana.

''Katika kipindi ambacho Mawaziri hawakufaidika ni wakati wangu, hata anapolala hajui kama kesho ataamka akiwa waziri', ameeleza.

Zaidi tazama Video hapa chini.
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba