Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliojifanya Usalama wa Taifa na vigogo wadakwa

Saturday , 5th Oct , 2019

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kagera, inaendelea kuwahoji watumishi watatu wa idara ya uvuvi na manunuzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, kufuatia tuhuma za kuhujumu mradi.

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kagera John Joseph

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi za taasisi hiyo katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Septemba mwaka huu, Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kagera John Joseph, amesema kuwa wanawashikilia jumla ya watu 29.

Ameeleza kuwa miongoni mwa hao ni watumishi watatu, ambao walitaka kujipatia fedha shilingi milioni nane kutokana na hujuma katika mradi wa upandikizaji vifaranga vya samaki katika ziwa Rushwa lililoko katika wilaya hiyo.

Mkuu huyo amefafanua kuwa watumishi hao walipaswa kupokea vifaranga 35,000 kutoka kwa mzabuni ambaye hakutaka kumtaja kwa sasa, na badala yake walipokea vifaranga 2,040 tu.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya