Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maneno ya Okwi baada ya kuifungia Uganda goli 2

Monday , 14th Oct , 2019

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi amewashukuru wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya Uganda, baada ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Ethiopia kwenye mechi ya kirafiki huku yeye akifunga goli hilo.

Kikosi cha timu ya taifa ya Uganda.

Okwi amesema anaipongeza timu nzima kwa jitihada nzuri ambazo zimewapa ushindi, na kuwataka wote wafurahie ushindi huo ambao waliupata jana jioni ugenini.

''Timu nzuri kwa jitihada za kila mmoja, tunashukuru na tufurahie ushindi', amesema Okwi.

Okwi sasa ameifungia magoli mawili timu yake ya taifa katika mechi mbili za kirafiki zilizopita, ambapo mchezo wa kwanza ulikuwa dhidi ya Kenya Septemba 8, alipofunga goli dakika ya 23 lakini Keneth Muguna akaisawazishia Kenya dakika ya 51 na mchezo kumalizika kwa sare ya 1-1.

Katika mchezo dhidi ya Kenya Okwi alikuwa nahodha wa Uganda ambayo ilikuwa ikimkosa nahodha wake na mlinda mlango Denis Onyango. Katika mchezo wa jana dhidi ya Ethiopia Onyango alikuwepo.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya