Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli kupewa heshima aliyopewa JK, Kawawa

Wednesday , 20th Nov , 2019

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinatarajiwa kumtunikia Rais John Magufuli Shahada ya Heshima ya Daktari wa Falsafa kutokana na uongozi wake, katika ujenzi wa Uchumi wa Viwanda na kuwekeza kwenye miundombinu, pamoja na kuimarisha utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa.

Rais John Magufuli.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Makamu Mkuu wa UDOM, Prof. Faustine Bee, smesema Rais Magufuli anakuwa kiongozi watatu wa kitaifa kutunukiwa heshima hiyo ambayo .

Prof. Prof. Faustine Bee ameendelea kusema kuwa tuzo hiyo inatolewa kwa mtu aliyefanya vizuri katika nyanja mbalimbali, akitanguliwa na Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Kikwete na aliyekuwa Waziri Mkuu wa kwanza Rashid Kawawa.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge, amesema Rais Dkt.John Pombe Magufuli, anatarajia kuanza ziara ya kikazi jijini humo kesho tarehe 21 hadi Novemba 25, 2019.

Katika ziara hiyo ataweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ya mandeleo ikiwemo Hospitali ya Uhuru, Stendi Kuu ya mabasi pamoja na soko kuu Dodoma.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP