Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa majibu kuhusu kumtaka Niyonzima

Friday , 22nd Nov , 2019

Imefahamika kwamba mashabiki wa klabu ya soka ya Yanga ndio wanamhitaji nyota wa zamani wa klabu hiyo Haruna Niyonzima na si benchi la ufundi kama inavyoripotiwa.

Haruna Niyonzima

Akizungumza na kipindi cha Kipenga cha East Africa Radio, afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema hakuna ripoti ya kocha inayoonyesha kumhitaji kiungo huyo mnyarwanda, lakini wameamua kufanyia kazi maombi ya mashabiki wao ambao wamekua wakipendekeza arejee katika dirisha dogo la usajili.

Bumbuli amesisitiza kwamba waliamua kulipeleka suala hilo katika kamati husika ambayo imekua ikifuatilia kiwango cha nyota huyo tangu katika mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars dhidi ya Rwanda, lakini pia katika michezo ya Taifa lake ya kufuzu AFCON 2021.

Kama haitoshi kamati ya ufundi inatarajiwa kuangalia kiwango cha Niyonzima katika michuano ya Cecafa Senior Challenge, inayotarajiwa kutimua vumbi  mwezi ujao kabla ya kufanya maamuzi ya kumsajili.

Niyonzima aliondoka Yanga miaka miwili iliopita na kusajiliwa na Simba kabla ya kuachwa katika usajili iliopita na kurejea nchini mwao Rwanda na mpaka sasa anakipiga na AS Kigali .
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya