Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrema alalamika wakala wake kutaka kunyweshwa bia

Monday , 25th Nov , 2019

Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema, amesema anaenda kulalamika kwa Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kwa kile alichokidai mgombea wa chama chake kufanyiwa hujuma, ili mgombea wa Chama Cha Mapinduzi ashinde Uenyekiti wa Serikali za Mitaa katika Kijiji alichozaliwa yeye ch

Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema.

yeye cha Kiraracha.

Mrema amedai katika zoezi hilo walijitokeza baadhi ya watu, yeye mwenyewe hakuwafahamu walimlazimisha wakala wake kunywa bia, wakati zoezi la kupiga kura likiwa linaendelea huku wakala wake akikataa kufanya hivyo.

Mrema amesema kuwa "wananchi wangu walimuona Mwenyekiti wao wa zamani aliyekaa miaka 10 anafaa kuendelea kuwaongoza, nilichoshangaa ni kuwa nguvu kubwa ilitumika, kwa sababu kulikuwa na idadi kubwa ya Polisi na wengine walilazimika kuleta bia ili wakala wangu anywe."

"Walipoleta bia, wakala wangu alikataa basi wakatumia hiyo nafasi kufanya mgombea wa chama kingine ashinde nafasi hiyo, kilichonishangaza Vijiji vyote havikukubaliwa wagombea wetu ni Kijiji kimoja tu."

Jana Novemba 24, 2019 Watanzania wa maeneo mbalimbali nchini, walishiriki zoezi la kupiga kura kwa kuwachagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji pamoja na Vitongoji.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya