Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bibi wa miaka 82 amchapa kijana wa miaka 28

Tuesday , 26th Nov , 2019

Bibi Willie Murphy mwenye umri wa miaka 82, kutokea jijini New York nchini Marekani, amempiga mwanaume wa miaka 28, ambaye jina lake halikuwekwa wazi kwa kosa la kuvamia nyumbani kwake bila ruhusa majira ya saa 5:00 usiku.

Bibi wa miaka 82 ambaye alikuwa mtunisha misuli .

Bibi huyo ambaye inadaiwa alikuwa anafanya michezo ya kutunisha misuli 'Bodybuilder' enzi za ujana wake, amesema alikuwa anaenda kulala chumbani kwake, ghafla akasikia mtu anagonga hodi mlangoni huku akidai kutaka kupigia gari la msaada wa wagonjwa lije nyumbani kwake.

Bibi huyo ameendelea kusema jamaa huyo aliamua kuvunja mlango wake na kuingia ndani kwa nguvu na ndipo yeye alipojihami kwa kuwapigia simu polisi, huku ameshika gongo na meza kisha  kuanza kumpiga nazo jamaa huyo.

Baada ya polisi kufika Bibi huyo alinukuliwa akisema "Ilikuwa ni usiku na niko pekee yangu, mimi ni mzee, lakini wajua nini, nilichukua meza na gongo nikampiga navyo, Polisi walivyoingia, tayari alikuwa amelala chini kwa sababu nilikuwa nishamaliza kazi" amesema Bibi Willie Murphy.

Willie Murphy aliwahi kuwa mshindi wa mataji kadhaa ya michezo ya kutunisha misuli na anaamini ujasiri alioufanya utawatia moyo watu wenye umri kama wake.

Chanzo cha habari hii ni Tuko News.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava