Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utata wa Mambo, Simba waongea, Yanga wapiga kimya

Monday , 9th Dec , 2019

Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kuhusu jina la uwanja wa klabu ya Simba uliopo Bunju jijini Dar es salaam, msemaji Haji Manara ameeleza jina sahihi la uwanja huo ni Mo Simba Arena na sio Simba Mo Arena kama ilivyotangazwa awali.

Kushoto ni Mohammed Dewji na kulia ni Mshindo Msolla

Taarifa ya Simba leo Desemba 9, 2019, imefafanua kuwa jina hilo linabaki kuwa Mo Simba Arena kwani ni maamuzi ya Mkutano mkuu tofauti na Simba Mo Arena ambayo iliamuliwa baada ya mkutano mkuu.

'Kwa kuwa maamuzi yaliyoafikiwa awali na Wanachama ya kuita uwanja wa Bunju jina la MO Simba Arena yalipitishwa na kwa kuwa badiliko la kutanguliza jina la Simba yalifanyika baada ya Mkutano kufungwa na kwa kuzingatia matakwa ya kikatiba yanayotambua maamuzi ya ndani ya Mkutano Mkuu yataheshimiwa kabla ya Mkutano kufungwa', imeeleza taarifa ya Simba.

Kwa upande Yanga wao wameendelea kukaa kimya juu ya suala la wachezaji wao Lamine Moro, David Moringa na Sydney Urkhob kuvunja mikataba na kuondoka.

Licha ya taarifa hizo kusambaa huku uongozi ukigoma kutoa ufafanuzi, mchezaji Papy Tshishimbi ameonekana kuweka wazi ukweli baada ya kupost picha akiwa na Lamine Moro na kumtakia kila la kheri.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava