Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nguo za ndani zinaning'inia tu Manzese' - TBS

Wednesday , 11th Dec , 2019

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt Athman Ngenya, amesema kuwa licha ya Shirika hilo kujitahidi kukomesha uingizwaji wa nguo za ndani zisizotakiwa, lakini bado nguo hizo zimekuwa zikiendelea kuuzwa kila kukicha.

Nguo za ndani za Kike.

Dkt Ngenya ameyabainisha hayo leo Desemba 11, 2019, wakati akitoa tathimini ya mafanikio yaliyopatikana kwa kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya Tano.

"Nikiri kwamba nguo za ndani zinatupa changamoto, tunajitahidi sana kuhakikisha hazipo lakini kila ukipita Manzese unakuta zinaning'inia, sasa wafanyakazi wa TBS nchi nzima wako 478 na tuna majukumu mengi, tunamikakati kwa Nchi nzima kuhakikisha tunakomesha uingizwaji wa bidhaa zisizokidhi viwango" amesema Dkt Ngenya.

Aidha Dkt Ngenya ameongeza kuwa katika kuhakikisha Shirika hilo linaboresha huduma zake, limefanikiwa kutumia kiasi cha shilingi bilioni 20 katika ujenzi wa jengo lake jipya la maabara lenye ghorofa nane.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava