Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Shinyanga atangaza kukagua watu wanaooana

Thursday , 12th Dec , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack, amekiri kuwepo kwa baadhi ya wanawake mkoani kwake kuogeshwa dawa ili kuvutia wanaume katika mahusiano, huku akitangaza kufanya ukaguzi wa Ndoa zinazofanyika mkoani humo kwa ajili ya kuzuia ndoa za utotoni hasa kwa wanafunzi.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.

RC Telack ameyabainisha hayo leo Desemba 12, 2019, wakati akizungumza na kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 asubuhi.

"Ni kweli kuna watoto wanaogeshwa dawa, hii ni mila potofu ila niseme tunachopambania kwa sasa ni kuhakikisha tunamaliza suala la utoro shuleni, na  tumewaonya wazazi yeyote ambaye atajihusisha na vitendo visivyo halali kwa mtoto wa kike, atachukuliwa hatua za kisheria" amesema Telack.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameongeza kuwa "Ndoa zote zinazofungwa kwenye Mkoa tunapeleka watu kujua nani anaolewa, kwa sababu kulikuwa na ongezeko la mimba za wanafunzi na walipoona hivyo wakaamua kubadilisha jina kutoka Ndoa na kuita mzunguko kwa hiyo tunahakikisha tunapeleka watu wetu kwenye hizo sherehe"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava