Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jux afunguka kupenda wanawake wembamba

Thursday , 12th Dec , 2019

EATV & EA Radio Digital, imepiga stori na mkali wa RnB Bongo, Juma Jux, ambaye amefunguka kuhusu tabia ya kupenda wanawake ambao wana maumbo membamba ya 'umodo'.

Msanii wa RnB Juma Jux.

Ukiangalia wapenzi wa zamani wa msanii huyo kama video vixen Jack Cliff, msanii Vanessa Mdee na mpenzi wake wa sasa aitwaye Nnayika, wote utagundua wanamaumbo membamba, hali inayopelekea watu kuhisi Jux anapenda wanawake wenye sifa hiyo.

Kwa upande wa Juma Jux ameeleza kuwa "Inatokeaga kupenda wa style hiyo ila mimi kuna vitu vyangu ambavyo naviangalia kwa msichana na hivyo vitu vingine vinakuja baadaye, inawezekana ikawa kwa watu ambao wananifuatilia kuwa wameona na wamejua hivyo".

Aidha Jux ameendelea kusema "Lakini  huwa sisema kwamba mwanamke fulani akiwa hivi ndiyo nitampenda, hivyo vinakuwaga vitu vyangu vya mwisho baada ya kuangalia vitu vingine, kwanza mtu ninayemtaka inabidi ajielewe sana, awe msafi, na anipende kama nilivyo kisha ndiyo vinakuja hivyo" ameongeza. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava