Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwijaku afunguka kuhusu Nandy kuwa Mke wa mtu

Friday , 13th Dec , 2019

Muigizaji Mwijaku amefunguka na kusema suala la Nandy kutaka kuwa mke wa mtu ni jambo jema na amejibashiria jambo zuri  katika maisha yake.

Kushoto kwenye picha ni Mwijaku, kulia ni Nandy.

Siku ya Novemba 18, 2019 kwenye ukurasa wa mtandao wa Instagram, Nandy alipost picha na kuandika anaenda kuwa mke wa mtu, jambo ambalo lilifanya watu wahisi amepata mchumba na anajipanga kwa ajili ya kufunga ndoa.

"Nimeishi na Nandy ni miongoni mwa watu waliofundwa na wakafundika ni Mke halisi, hakuna kitu ambacho kinaumiza wanawake kama kuendelea kuwa 'single' na kutokuwa na mtu wa moja kwa moja, kwahiyo mtu kama Nandy kuanza kupambana kusema anataka kuwa mke wa mtu ni jambo zuri" ameeleza Mwijaku.

Aidha Mwijaku ameongeza kuwa, "Unajua unatakiwa ujibashirie jambo zuri ndiyo mambo yanaenda, yeye anajibashiria ndoa ili maisha yake yawe mazuri, sijajua ni nani atakae kuwa naye ila atatuweka wazi maana Nandy naye siku hizi amekuwa msiri sana kwenye mahusiano yake na amekuwa msafi". 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali