Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama wa Kabendera amuangukia Rais Magufuli

Friday , 13th Dec , 2019

Mama Mzazi wa Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera, anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, amemuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, na kumuomba amsamehe mwanaye ili arudi nyumbani na kuendelea kumlea.

Mama wa Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera, Verediana Mjwahuzi

Mama Erick Kabendera, anayejulikana kwa jina la Verediana Mjwahuzi, ametoa ombi hilo leo Disemba 13, 2019, na kusema kuwa Erick ndiye mtoto pekee aliyekuwa akimsaidia katika huduma zake za matibabu na kuomba kuwa kama ambavyo Rais Magufuli analea wazazi wake, basi na yeye aangaliae namna ya kumuachia mwanaye.

"Mungu alimzawadia Erick kusudi mimi anitunze na yeye ni mtoto kwa wazazi pamoja na kuwa ni mkubwa lakini cheo chake cha Urais hakimzuii kuwa mtoto wa mtu ana wazazi na anawalea kwahiyo namuomba sana anifikirie, anione nilivyo, nahangaika, maisha yamekuwa magumu, magonjwa dawa sizipati, amruhusu huyu mwanangu na mimi anitunze kama na yeye anavyotunza wazazi wake, watu wanasema mengi dhidi ya mwanangu, naomba hayo wanayomuambia achambue" amesema Mama Erick Kabendera.

Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu, likiwemo la uhujumu uchumi, ukwepaji wa kodi pamoja na kuongoza genge la uhalifu, makosa ambayo anadaiwa kuyatenda kati ya Januari 2015 na Julai 2019, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava