Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sprite Bball Kings 2019 yatoa 8 Klabu Bingwa

Tuesday , 17th Dec , 2019

Wachezaji 8 walioshiriki michuano ya Sprite Bball Kings 2019, ni miongoni mwa wachezaji 15 wa kikosi cha JKT kinacho shiriki kufuzu michuano ya Klabu Bingwa ya Kikapu Afrika iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu duniani FIBA.

MVP Baraka Sadick

Wachezaji hao ni MVP wa Sprite Bball Kings 2019, Baraka Sadick, Mussa Chacha na Cornelius Peter wote wa Mchenga Bball Stars), Stephano Mshana na Denis Chibula wa Tamaduni, Jackson Brown wa Flying Dribllers, Anglebert wa Temeke Heroes na Jonas Mushi wa St. Joseph.

Ufunguzi wa michuano hiyo unafanyika leo nchini Rwanda katika uwanja mpya na wa kisasa kabisa Afrika 'Kigali Arena', ambapo wenyeji Patriots watacheza na JKT mnamo saa 2 usiku.

Timu zinazoshiriki katika zone ya Afrika mashariki ni Patriots(Rwanda), GNBC(Madagascar), Unza Pacers(Zambia) na JKT (Tanzainia) kutoka kundi A, Wakati kundi B lina timu za KPA(Kenya), Ferroviario de maputo(Msumbuji), Cobra(Sudan ya Kusini) na City Oilers(Uganda). 

Timu mbili tu ndizo zitatoka katika makundi hayo zitakazoungana na timu sita ambazo zimevuka katika zone nyingine ambazo kuna timu zimepita kutokana na viwango vya FIBA.

Haya ni makundi ya mashindano hayo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali